Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili kupigana kwa ajili yenu juu ya adui zenu apate kuwaokoa ninyi.’+

  • Yoshua 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na hakuna siku ambayo imepata kuwa kama hiyo, wala kabla yake wala baada yake, kwa kuwa Yehova aliisikia sauti ya mwanadamu,+ kwa maana Yehova mwenyewe alikuwa akipigania Israeli.+

  • Yoshua 10:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Na Yoshua akateka wafalme hao wote na nchi zao wakati mmoja,+ kwa kuwa ni Yehova Mungu wa Israeli aliyekuwa akipigania Israeli.+

  • Zaburi 44:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+

      Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+

      Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,

      Kwa sababu ulipendezwa nao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki