Kumbukumbu la Torati 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili kupigana kwa ajili yenu juu ya adui zenu apate kuwaokoa ninyi.’+ Yoshua 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na hakuna siku ambayo imepata kuwa kama hiyo, wala kabla yake wala baada yake, kwa kuwa Yehova aliisikia sauti ya mwanadamu,+ kwa maana Yehova mwenyewe alikuwa akipigania Israeli.+ Yoshua 10:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Na Yoshua akateka wafalme hao wote na nchi zao wakati mmoja,+ kwa kuwa ni Yehova Mungu wa Israeli aliyekuwa akipigania Israeli.+ Zaburi 44:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+
4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili kupigana kwa ajili yenu juu ya adui zenu apate kuwaokoa ninyi.’+
14 Na hakuna siku ambayo imepata kuwa kama hiyo, wala kabla yake wala baada yake, kwa kuwa Yehova aliisikia sauti ya mwanadamu,+ kwa maana Yehova mwenyewe alikuwa akipigania Israeli.+
42 Na Yoshua akateka wafalme hao wote na nchi zao wakati mmoja,+ kwa kuwa ni Yehova Mungu wa Israeli aliyekuwa akipigania Israeli.+
3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+