Yoshua 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Haijawahi kamwe kutokea siku kama hiyo, kabla au baada yake, ambayo Yehova aliisikiliza sauti ya mwanadamu+ katika njia hiyo, kwa sababu Yehova alikuwa akiwapigania Waisraeli.+
14 Haijawahi kamwe kutokea siku kama hiyo, kabla au baada yake, ambayo Yehova aliisikiliza sauti ya mwanadamu+ katika njia hiyo, kwa sababu Yehova alikuwa akiwapigania Waisraeli.+