Yoshua 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na hakuna siku ambayo imepata kuwa kama hiyo, wala kabla yake wala baada yake, kwa kuwa Yehova aliisikia sauti ya mwanadamu,+ kwa maana Yehova mwenyewe alikuwa akipigania Israeli.+
14 Na hakuna siku ambayo imepata kuwa kama hiyo, wala kabla yake wala baada yake, kwa kuwa Yehova aliisikia sauti ya mwanadamu,+ kwa maana Yehova mwenyewe alikuwa akipigania Israeli.+