Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yehova mwenyewe atawapigania ninyi,+ nanyi wenyewe mtakaa kimya.”

  • Kumbukumbu la Torati 1:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yehova Mungu wenu ndiye anayeenda mbele yenu. Atawapigania ninyi+ kulingana na yote ambayo aliwafanyia ninyi katika Misri chini ya macho yenu wenyewe,+

  • Kumbukumbu la Torati 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Msiwaogope, kwa maana Yehova Mungu wenu Ndiye anayewapigania ninyi.’+

  • Yoshua 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini ninyi, mmeona mambo yote ambayo Yehova Mungu wenu aliyatendea mataifa haya yote kwa ajili yenu,+ kwa maana Yehova Mungu wenu ndiye aliyekuwa akiwapigania ninyi.+

  • Zaburi 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nafsi yetu imekuwa ikimtarajia Yehova.+

      Yeye ni msaidizi wetu na ngao yetu.+

  • Isaya 42:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yehova mwenyewe atatokea kama mwanamume mwenye nguvu.+ Ataamsha bidii kama shujaa wa vita.+ Atapaaza sauti, ndiyo, atapiga kelele za vita;+ atajionyesha kuwa mwenye nguvu zaidi juu ya adui zake.+

  • Zekaria 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Na Yehova ataenda na kupiga vita juu ya mataifa+ hayo kama katika siku yake ya vita, katika siku ya pigano.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki