Kumbukumbu la Torati 1:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Yehova Mungu wenu ndiye anayeenda mbele yenu. Atawapigania ninyi+ kulingana na yote ambayo aliwafanyia ninyi katika Misri chini ya macho yenu wenyewe,+ Kumbukumbu la Torati 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili kupigana kwa ajili yenu juu ya adui zenu apate kuwaokoa ninyi.’+ 2 Mambo ya Nyakati 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na hofu+ ya Mungu ikawa juu ya falme zote za nchi waliposikia kwamba Yehova amepiga vita juu ya adui za Israeli.+
30 Yehova Mungu wenu ndiye anayeenda mbele yenu. Atawapigania ninyi+ kulingana na yote ambayo aliwafanyia ninyi katika Misri chini ya macho yenu wenyewe,+
4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili kupigana kwa ajili yenu juu ya adui zenu apate kuwaokoa ninyi.’+
29 Na hofu+ ya Mungu ikawa juu ya falme zote za nchi waliposikia kwamba Yehova amepiga vita juu ya adui za Israeli.+