Kutoka 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Vikundi vya watu vitasikia,+ vitafadhaika;+Uchungu wa kuzaa+ utawashika wakaaji wa Ufilisti. Kumbukumbu la Torati 33:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Hakuna aliye kama Mungu wa kweli+ wa Yeshuruni,+Anayepanda juu ya mbingu ili kukusaidia+Na juu ya anga zenye kutanda mawingu katika adhama yake.+ Yoshua 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo wakamwambia: “Watumishi wako wametoka nchi ya mbali sana+ kwa sababu ya jina+ la Yehova Mungu wako, kwa kuwa tumesikia sifa zake na mambo yote ambayo alitenda katika Misri,+
26 Hakuna aliye kama Mungu wa kweli+ wa Yeshuruni,+Anayepanda juu ya mbingu ili kukusaidia+Na juu ya anga zenye kutanda mawingu katika adhama yake.+
9 Ndipo wakamwambia: “Watumishi wako wametoka nchi ya mbali sana+ kwa sababu ya jina+ la Yehova Mungu wako, kwa kuwa tumesikia sifa zake na mambo yote ambayo alitenda katika Misri,+