1 Wafalme 8:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 “Na pia kwa mgeni,+ ambaye si sehemu ya watu wako Israeli na ambaye anatoka katika nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako+ 2 Mambo ya Nyakati 6:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Na pia kwa mgeni ambaye si sehemu ya watu wako Israeli+ na ambaye anatoka katika nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako kuu+ na mkono wako wenye nguvu+ na mkono wako ulionyooshwa,+ nao kwa kweli waje na kusali kuelekea nyumba hii,+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+
41 “Na pia kwa mgeni,+ ambaye si sehemu ya watu wako Israeli na ambaye anatoka katika nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako+
32 “Na pia kwa mgeni ambaye si sehemu ya watu wako Israeli+ na ambaye anatoka katika nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako kuu+ na mkono wako wenye nguvu+ na mkono wako ulionyooshwa,+ nao kwa kweli waje na kusali kuelekea nyumba hii,+