2 Mambo ya Nyakati 6:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Pia mgeni ambaye si sehemu ya watu wako Waisraeli na ambaye anatoka katika nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako kuu*+ na mkono wako wenye nguvu na mkono wako ulionyooshwa, akija na kusali kuelekea nyumba hii,+
32 “Pia mgeni ambaye si sehemu ya watu wako Waisraeli na ambaye anatoka katika nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako kuu*+ na mkono wako wenye nguvu na mkono wako ulionyooshwa, akija na kusali kuelekea nyumba hii,+