Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Na ikiwa mkaaji mgeni atakuwa akikaa pamoja nanyi akiwa mgeni, yeye pia atamtayarishia Yehova dhabihu ya pasaka.+ Anapaswa kufanya kulingana na sheria ya pasaka na kulingana na utaratibu wake wa kawaida.+ Kutakuwa na sheria moja kwa ajili yenu, kwa ajili ya mkaaji mgeni na kwa ajili ya mwenyeji wa nchi.’”+

  • 2 Wafalme 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo akarudi kwa yule mtu wa Mungu wa kweli,+ yeye na kambi yake yote, akaenda, akasimama mbele yake na kusema: “Tazama, sasa, hakika ninajua kwamba hakuna Mungu yeyote mahali pengine popote duniani isipokuwa katika Israeli.+ Na sasa, tafadhali pokea zawadi ya kubariki+ kutoka kwa mtumishi wako.”

  • 2 Mambo ya Nyakati 6:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “Na pia kwa mgeni ambaye si sehemu ya watu wako Israeli+ na ambaye anatoka katika nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako kuu+ na mkono wako wenye nguvu+ na mkono wako ulionyooshwa,+ nao kwa kweli waje na kusali kuelekea nyumba hii,+

  • Isaya 56:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Na wageni ambao wamejiunga na Yehova ili kumhudumia+ na kulipenda jina la Yehova,+ ili kuwa watumishi wake, wale wote wanaoishika sabato ili wasiitie unajisi na kulishika agano langu,+

  • Matendo 8:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ndipo akaondoka akaenda, na, tazama! towashi+ Mwethiopia,+ mwanamume aliye na mamlaka chini ya Kandake malkia wa Waethiopia, na ambaye alikuwa juu ya hazina yote ya malkia. Huyo alikuwa ameenda Yerusalemu kuabudu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki