-
Hesabu 9:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 “‘Na ikiwa mkaaji mgeni atakuwa akikaa pamoja nanyi akiwa mgeni, yeye pia atamtayarishia Yehova dhabihu ya pasaka.+ Anapaswa kufanya kulingana na sheria ya pasaka na kulingana na utaratibu wake wa kawaida.+ Kutakuwa na sheria moja kwa ajili yenu, kwa ajili ya mkaaji mgeni na kwa ajili ya mwenyeji wa nchi.’”+
-
-
2 Wafalme 5:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Ndipo akarudi kwa yule mtu wa Mungu wa kweli,+ yeye na kambi yake yote, akaenda, akasimama mbele yake na kusema: “Tazama, sasa, hakika ninajua kwamba hakuna Mungu yeyote mahali pengine popote duniani isipokuwa katika Israeli.+ Na sasa, tafadhali pokea zawadi ya kubariki+ kutoka kwa mtumishi wako.”
-