Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 96:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani;+

      Lakini Yehova, amezifanya mbingu.+

  • Isaya 43:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova, “mtumishi wangu ambaye nimemchagua,+ ili mjue+ na kuwa na imani katika mimi,+ na ili mwelewe kwamba mimi ni Yeye yuleyule.+ Kabla yangu hakuna Mungu yeyote aliyefanyizwa,+ na baada yangu hapakuendelea kuwapo yeyote.+

  • Isaya 44:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi, ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho,+ na zaidi yangu hakuna Mungu.+

  • Isaya 45:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote.+ Zaidi ya mimi hakuna Mungu.+ Nitakulinda kwa ukaribu, ingawa hukunijua mimi,

  • 1 Wakorintho 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki