Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 43:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mimi mwenyewe nimetangaza na kuokoa na kufanya lisikiwe,+ wakati hapakuwa na mungu yeyote mgeni katikati yenu.+ Basi ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova, “nami ni Mungu.+

  • Isaya 44:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Msiwe na hofu, wala msishangazwe.+ Je, tangu wakati huo mimi sikuwafanya ninyi mmoja mmoja myasikie na kuyatangaza?+ Nanyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi ya mimi?+ Hapana, hakuna Mwamba.+ Sikumtambua yeyote.’”

  • Yohana 15:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 nanyi, mtatoa ushahidi,+ kwa sababu mmekuwa pamoja nami kutoka wakati nilipoanza.

  • Matendo 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 lakini mtapokea nguvu+ wakati roho takatifu itakapofika juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu+ na pia katika Yudea yote na Samaria+ na mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia.”+

  • 1 Wakorintho 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Zaidi ya hayo, tunaonekana pia kuwa mashahidi wa uwongo wa Mungu,+ kwa sababu tumetoa ushahidi+ juu ya Mungu kwamba yeye alimfufua Kristo,+ lakini ambaye hakumfufua ikiwa kwa kweli wafu hawatafufuliwa.+

  • Ufunuo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Mwaminifu,”+ “Mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mtawala wa wafalme wa dunia.”+

      Kwake yeye anayetupenda+ na aliyetufungua kutoka katika dhambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+—

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki