12 “Mimi mwenyewe nimetangaza na kuokoa na kufanya lisikiwe,+ wakati hapakuwa na mungu yeyote mgeni katikati yenu.+ Basi ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova, “nami ni Mungu.+
8 Msiwe na hofu, wala msishangazwe.+ Je, tangu wakati huo mimi sikuwafanya ninyi mmoja mmoja myasikie na kuyatangaza?+ Nanyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi ya mimi?+ Hapana, hakuna Mwamba.+ Sikumtambua yeyote.’”
8 lakini mtapokea nguvu+ wakati roho takatifu itakapofika juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu+ na pia katika Yudea yote na Samaria+ na mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia.”+
15 Zaidi ya hayo, tunaonekana pia kuwa mashahidi wa uwongo wa Mungu,+ kwa sababu tumetoa ushahidi+ juu ya Mungu kwamba yeye alimfufua Kristo,+ lakini ambaye hakumfufua ikiwa kwa kweli wafu hawatafufuliwa.+