Matendo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kuyafungua maumivu makali ya kifo,+ kwa sababu haikuwezekana kiendelee kumshika.+ Matendo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 acheni ijulikane kwenu nyote na kwa watu wote wa Israeli, kwamba katika jina la Yesu Kristo Mnazareti,+ ambaye mlimtundika mtini+ lakini ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu,+ kupitia kwake, mtu huyu anasimama hapa akiwa na afya mbele yenu. Matendo 13:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu;+
24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kuyafungua maumivu makali ya kifo,+ kwa sababu haikuwezekana kiendelee kumshika.+
10 acheni ijulikane kwenu nyote na kwa watu wote wa Israeli, kwamba katika jina la Yesu Kristo Mnazareti,+ ambaye mlimtundika mtini+ lakini ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu,+ kupitia kwake, mtu huyu anasimama hapa akiwa na afya mbele yenu.