Mathayo 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hayupo hapa, kwa maana alifufuliwa,+ kama alivyosema. Njooni, tazameni mahali alipokuwa amelala. Matendo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kuyafungua maumivu makali ya kifo,+ kwa sababu haikuwezekana kiendelee kumshika.+
24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kuyafungua maumivu makali ya kifo,+ kwa sababu haikuwezekana kiendelee kumshika.+