15 Kisha akarudi kwa yule mtu wa Mungu wa kweli,+ yeye na msafara wake wote, akasimama mbele yake na kusema: “Sasa najua kwamba hakuna Mungu mahali pengine popote duniani isipokuwa Israeli.+ Sasa, tafadhali, pokea zawadi kutoka kwangu mimi mtumishi wako.”