Luka 17:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mmoja wao alipoona amepona, akarudi akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa. 16 Akaanguka kifudifudi miguuni pa Yesu na kumshukuru. Isitoshe, alikuwa Msamaria.+
15 Mmoja wao alipoona amepona, akarudi akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa. 16 Akaanguka kifudifudi miguuni pa Yesu na kumshukuru. Isitoshe, alikuwa Msamaria.+