Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Na ikiwa mkaaji mgeni anakaa pamoja nawe akiwa mgeni naye atasherehekea pasaka kwa Yehova, kila mwanamume wa kwake na atahiriwe.+ Ndipo apate kukaribia ili kuisherehekea; na awe kama mwenyeji wa nchi. Bali mwanamume yeyote ambaye hajatahiriwa asipate kuila.

  • Ruthu 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye Ruthu akasema: “Usiniombe nikuache, nigeuke nisifuatane nawe; kwa maana uendako nitaenda, na mahali utakapokaa usiku kucha nitakaa.+ Watu wako watakuwa watu wangu,+ na Mungu wako Mungu wangu.+

  • Isaya 56:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na mgeni ambaye amejiunga na Yehova asiseme,+ ‘Bila shaka Yehova atanitenga na watu wake.’+ Wala towashi+ asiseme, ‘Tazama! Mimi ni mti mkavu.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki