48 Na ikiwa mkaaji mgeni anakaa pamoja nawe akiwa mgeni naye atasherehekea pasaka kwa Yehova, kila mwanamume wa kwake na atahiriwe.+ Ndipo apate kukaribia ili kuisherehekea; na awe kama mwenyeji wa nchi. Bali mwanamume yeyote ambaye hajatahiriwa asipate kuila.
16 Naye Ruthu akasema: “Usiniombe nikuache, nigeuke nisifuatane nawe; kwa maana uendako nitaenda, na mahali utakapokaa usiku kucha nitakaa.+ Watu wako watakuwa watu wangu,+ na Mungu wako Mungu wangu.+