Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 19:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana kuna matowashi waliozaliwa namna hiyo kutoka katika tumbo la uzazi la mama yao,+ na kuna matowashi waliofanywa matowashi na watu, na kuna matowashi ambao wamejifanya wenyewe matowashi kwa sababu ya ufalme wa mbinguni. Yule anayeweza kulipa nafasi na alipe nafasi.”+

  • 1 Wakorintho 7:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kwa hiyo yeye pia anayeufungisha ndoa ubikira wake anafanya vema,+ lakini yeye asiyeufungisha ndoa atafanya vema zaidi.+

  • 2 Wakorintho 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo tangu sasa na kuendelea sisi hatumjui mtu yeyote kulingana na mwili.+ Hata kama tumemjua Kristo kulingana na mwili,+ hakika sasa hatumjui hivyo tena.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki