1 Wakorintho 7:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa kweli, nataka ninyi msiwe na mahangaiko.+ Mwanamume ambaye hajaoa huhangaikia mambo ya Bwana, jinsi anavyoweza kupata kibali cha Bwana. 1 Wakorintho 7:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kwa hiyo yeye pia anayeufungisha ndoa ubikira wake anafanya vema,+ lakini yeye asiyeufungisha ndoa atafanya vema zaidi.+ 1 Wakorintho 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sisi tuna mamlaka ya kumchukua pamoja nasi dada akiwa mke,+ hata kama vile mitume wale wengine na ndugu za Bwana+ na Kefa,+ sivyo?
32 Kwa kweli, nataka ninyi msiwe na mahangaiko.+ Mwanamume ambaye hajaoa huhangaikia mambo ya Bwana, jinsi anavyoweza kupata kibali cha Bwana.
38 Kwa hiyo yeye pia anayeufungisha ndoa ubikira wake anafanya vema,+ lakini yeye asiyeufungisha ndoa atafanya vema zaidi.+
5 Sisi tuna mamlaka ya kumchukua pamoja nasi dada akiwa mke,+ hata kama vile mitume wale wengine na ndugu za Bwana+ na Kefa,+ sivyo?