Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 7:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa kweli, nataka ninyi msiwe na mahangaiko.+ Mwanamume ambaye hajaoa huhangaikia mambo ya Bwana, jinsi anavyoweza kupata kibali cha Bwana.

  • 1 Wakorintho 7:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kwa hiyo yeye pia anayeufungisha ndoa ubikira wake anafanya vema,+ lakini yeye asiyeufungisha ndoa atafanya vema zaidi.+

  • 1 Wakorintho 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Sisi tuna mamlaka ya kumchukua pamoja nasi dada akiwa mke,+ hata kama vile mitume wale wengine na ndugu za Bwana+ na Kefa,+ sivyo?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki