2 Wafalme 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na Eliya akaanza kumwambia Elisha: “Keti hapa, tafadhali, kwa sababu Yehova amenituma niende mpaka Betheli.” Lakini Elisha akasema: “Kama Yehova anavyoishi+ na kama nafsi yako inavyoishi,+ mimi sitakuacha.”+ Basi wakashuka kwenda Betheli.+ Waebrania 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na bado, kama kwa kweli wangeendelea kukumbuka mahali pale walipokuwa wametoka,+ wangepata nafasi ya kurudi.+
2 Na Eliya akaanza kumwambia Elisha: “Keti hapa, tafadhali, kwa sababu Yehova amenituma niende mpaka Betheli.” Lakini Elisha akasema: “Kama Yehova anavyoishi+ na kama nafsi yako inavyoishi,+ mimi sitakuacha.”+ Basi wakashuka kwenda Betheli.+
15 Na bado, kama kwa kweli wangeendelea kukumbuka mahali pale walipokuwa wametoka,+ wangepata nafasi ya kurudi.+