Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 28:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tena, akaita jina la mahali hapo Betheli,+ lakini ukweli ni kwamba, hapo zamani jina la jiji hilo lilikuwa ni Luzi.+

  • 1 Wafalme 12:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kisha akaweka mmoja kule Betheli,+ na mwingine akamweka kule Dani.+

  • 1 Wafalme 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na tazama, palikuwa na mtu+ wa Mungu aliyekuwa amekuja kutoka Yuda kwa neno+ la Yehova ili kwenda Betheli, Yeroboamu alipokuwa amesimama kando ya madhabahu+ ili kufukiza moshi wa dhabihu.+

  • 2 Wafalme 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye akapanda kutoka hapo mpaka Betheli.+ Alipokuwa akipanda njiani, tazama, palikuwa na wavulana+ wadogo waliotoka katika jiji, nao wakaanza kumdhihaki,+ wakazidi kumwambia: “Nenda juu, wewe kipara!+ Nenda juu, wewe kipara!”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki