1 Wafalme 20:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na mtu fulani wa wana wa manabii+ akamwambia rafiki yake kwa neno+ la Yehova: “Tafadhali, nipige.” Lakini yule mtu akakataa kumpiga. Isaya 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sikieni,+ enyi mbingu, utege sikio, Ee dunia, kwa maana Yehova mwenyewe amesema: “Nimelea na kukuza wana,+ lakini wao wenyewe wameniasi.+ Yeremia 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Tangu mwaka wa 13 wa Yosia+ mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda, mpaka leo hii, miaka hii 23, neno la Yehova limenijia, nikaendelea kusema nanyi, nikiamka mapema na kusema, lakini hamkusikiliza.+
35 Na mtu fulani wa wana wa manabii+ akamwambia rafiki yake kwa neno+ la Yehova: “Tafadhali, nipige.” Lakini yule mtu akakataa kumpiga.
2 Sikieni,+ enyi mbingu, utege sikio, Ee dunia, kwa maana Yehova mwenyewe amesema: “Nimelea na kukuza wana,+ lakini wao wenyewe wameniasi.+
3 “Tangu mwaka wa 13 wa Yosia+ mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda, mpaka leo hii, miaka hii 23, neno la Yehova limenijia, nikaendelea kusema nanyi, nikiamka mapema na kusema, lakini hamkusikiliza.+