2 Wafalme 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo wana wa manabii+ waliokuwa katika Betheli wakamjia Elisha na kumwambia: “Je, kweli unajua kwamba leo Yehova anamchukua bwana wako asiwe kichwa juu yako?”+ Naye akasema: “Mimi pia najua vema jambo hilo.+ Kaeni kimya.” Amosi 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo Amosi akajibu na kumwambia Amazia: “Mimi sikuwa nabii, wala sikuwa mwana wa nabii,+ bali nilikuwa mchungaji+ na mminyaji wa tini za mikuyu.
3 Ndipo wana wa manabii+ waliokuwa katika Betheli wakamjia Elisha na kumwambia: “Je, kweli unajua kwamba leo Yehova anamchukua bwana wako asiwe kichwa juu yako?”+ Naye akasema: “Mimi pia najua vema jambo hilo.+ Kaeni kimya.”
14 Ndipo Amosi akajibu na kumwambia Amazia: “Mimi sikuwa nabii, wala sikuwa mwana wa nabii,+ bali nilikuwa mchungaji+ na mminyaji wa tini za mikuyu.