Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 20:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na mtu fulani wa wana wa manabii+ akamwambia rafiki yake kwa neno+ la Yehova: “Tafadhali, nipige.” Lakini yule mtu akakataa kumpiga.

  • 2 Wafalme 4:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na Elisha mwenyewe akarudi Gilgali,+ na kulikuwa na njaa+ katika nchi. Baada ya muda, wana+ wa manabii walipokuwa wamekaa mbele yake,+ akamwambia mtumishi+ wake: “Tia kile chungu kikubwa cha kupikia, uwatokosee mchuzi wana wa manabii.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki