3 Ndipo wana wa manabii+ waliokuwa katika Betheli wakamjia Elisha na kumwambia: “Je, kweli unajua kwamba leo Yehova anamchukua bwana wako asiwe kichwa juu yako?”+ Naye akasema: “Mimi pia najua vema jambo hilo.+ Kaeni kimya.”
5 Ndipo wana wa manabii waliokuwa katika Yeriko wakamkaribia Elisha na kumwambia: “Je, kweli unajua kwamba leo Yehova anamchukua bwana wako asiwe kichwa juu yako?” Naye akasema: “Mimi pia najua vema jambo hilo. Kaeni kimya.”+