2 Wafalme 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha wana wa manabii* huko Betheli wakaja kwa Elisha na kumuuliza: “Je, unajua kwamba leo Yehova anamchukua bwana wako asiwe kiongozi wako?”+ Ndipo akajibu: “Tayari najua. Nyamazeni.”
3 Kisha wana wa manabii* huko Betheli wakaja kwa Elisha na kumuuliza: “Je, unajua kwamba leo Yehova anamchukua bwana wako asiwe kiongozi wako?”+ Ndipo akajibu: “Tayari najua. Nyamazeni.”