4 Basi palikuwa na mwanamke fulani wa wake za wana+ wa manabii aliyemlilia Elisha, akisema: “Mtumishi wako, mume wangu, amekufa; nawe unajua vema kwamba mtumishi wako aliendelea kumwogopa+ Yehova, na mkopeshaji+ amekuja kuwachukua watoto wangu wawili wawe watumwa wake.”