Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, bwana wangu hakuambiwa yale niliyofanya wakati Yezebeli alipowaua manabii wa Yehova, jinsi nilivyowaficha baadhi ya manabii wa Yehova, watu 100 wakiwa vikundi viwili vya watu 50 pangoni,+ nikaendelea kuwapa mkate na maji?+

  • 1 Wafalme 20:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na mtu fulani wa wana wa manabii+ akamwambia rafiki yake kwa neno+ la Yehova: “Tafadhali, nipige.” Lakini yule mtu akakataa kumpiga.

  • 2 Wafalme 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi palikuwa na mwanamke fulani wa wake za wana+ wa manabii aliyemlilia Elisha, akisema: “Mtumishi wako, mume wangu, amekufa; nawe unajua vema kwamba mtumishi wako aliendelea kumwogopa+ Yehova, na mkopeshaji+ amekuja kuwachukua watoto wangu wawili wawe watumwa wake.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki