2 Wafalme 4:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Elisha aliporudi Gilgali, kulikuwa na njaa kali nchini.+ Wana wa manabii+ walikuwa wameketi mbele yake, akamwambia mtumishi wake:+ “Weka kile chungu kikubwa motoni uwachemshie mchuzi wana wa manabii.”
38 Elisha aliporudi Gilgali, kulikuwa na njaa kali nchini.+ Wana wa manabii+ walikuwa wameketi mbele yake, akamwambia mtumishi wake:+ “Weka kile chungu kikubwa motoni uwachemshie mchuzi wana wa manabii.”