Waamuzi 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye alikuwa anakaa chini ya mtende wa Debora kati ya Rama+ na Betheli+ katika eneo lenye milima la Efraimu; na wana wa Israeli wakawa wakimwendea ili awahukumu. Hosea 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Akaendelea kushindana na malaika, naye mwishowe akashinda.+ Alilia, ili apate kujiombea kibali kwa bidii.”+ Alimkuta Betheli,+ na huko Yeye akaanza kusema nasi.+
5 Naye alikuwa anakaa chini ya mtende wa Debora kati ya Rama+ na Betheli+ katika eneo lenye milima la Efraimu; na wana wa Israeli wakawa wakimwendea ili awahukumu.
4 Akaendelea kushindana na malaika, naye mwishowe akashinda.+ Alilia, ili apate kujiombea kibali kwa bidii.”+ Alimkuta Betheli,+ na huko Yeye akaanza kusema nasi.+