Mwanzo 28:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye akaogopa, akaongeza kusema:+ “Jinsi mahali hapa panavyoogopesha!+ Bila shaka mahali hapa ni nyumba ya Mungu+ napo ndipo lango la mbinguni.” Mwanzo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tena, akaita jina la mahali hapo Betheli,+ lakini ukweli ni kwamba, hapo zamani jina la jiji hilo lilikuwa ni Luzi.+ Yeremia 48:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Wamoabu wataona aibu kwa sababu ya Kemoshi,+ kama wale wa nyumba ya Israeli walivyoona aibu kwa sababu ya Betheli, uhakika wao.+ Amosi 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ‘Maana, siku yangu ya kutoza hesabu+ kwa sababu ya maasi ya Israeli juu yake, mimi nitazitoza hesabu pia madhabahu za Betheli;+ na pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali na kuanguka chini.+
17 Naye akaogopa, akaongeza kusema:+ “Jinsi mahali hapa panavyoogopesha!+ Bila shaka mahali hapa ni nyumba ya Mungu+ napo ndipo lango la mbinguni.”
19 Tena, akaita jina la mahali hapo Betheli,+ lakini ukweli ni kwamba, hapo zamani jina la jiji hilo lilikuwa ni Luzi.+
13 Na Wamoabu wataona aibu kwa sababu ya Kemoshi,+ kama wale wa nyumba ya Israeli walivyoona aibu kwa sababu ya Betheli, uhakika wao.+
14 ‘Maana, siku yangu ya kutoza hesabu+ kwa sababu ya maasi ya Israeli juu yake, mimi nitazitoza hesabu pia madhabahu za Betheli;+ na pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali na kuanguka chini.+