Mwanzo 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisha Mungu akamwambia Yakobo: “Ondoka, uende Betheli, ukakae huko,+ nawe umjengee madhabahu Mungu wa kweli, aliyekutokea ulipokuwa ukimkimbia Esau ndugu yako.”+ Zaburi 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nimemwomba Yehova jambo moja+—Ndilo nitakalolitafuta,+Kwamba nipate kukaa katika nyumba ya Yehova siku zote za maisha yangu,+Ili kuuona uzuri wa Yehova+Na kulitazama kwa uthamini hekalu lake.+
35 Kisha Mungu akamwambia Yakobo: “Ondoka, uende Betheli, ukakae huko,+ nawe umjengee madhabahu Mungu wa kweli, aliyekutokea ulipokuwa ukimkimbia Esau ndugu yako.”+
4 Nimemwomba Yehova jambo moja+—Ndilo nitakalolitafuta,+Kwamba nipate kukaa katika nyumba ya Yehova siku zote za maisha yangu,+Ili kuuona uzuri wa Yehova+Na kulitazama kwa uthamini hekalu lake.+