Zaburi 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ee Yehova, ni nani atakayekuwa mgeni katika hema lako?+Ni nani atakayekaa katika mlima wako mtakatifu?+ Zaburi 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hakika wema na fadhili zenye upendo zitanifuata siku zote za maisha yangu;+Nami nitakaa katika nyumba ya Yehova siku nyingi.+ Zaburi 65:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwenye furaha ni yule unayemchagua na kumfanya akaribie,+Ili apate kukaa katika nyua zako.+Hakika tutashiba mema ya nyumba yako,+Mahali patakatifu pa hekalu lako.+ Luka 2:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 naye sasa alikuwa mjane+ mwenye umri wa miaka 84), ambaye alikuwa hakosi kamwe kuwa katika hekalu, akitoa utumishi mtakatifu usiku na mchana+ kwa kufunga na dua.
15 Ee Yehova, ni nani atakayekuwa mgeni katika hema lako?+Ni nani atakayekaa katika mlima wako mtakatifu?+
6 Kwa hakika wema na fadhili zenye upendo zitanifuata siku zote za maisha yangu;+Nami nitakaa katika nyumba ya Yehova siku nyingi.+
4 Mwenye furaha ni yule unayemchagua na kumfanya akaribie,+Ili apate kukaa katika nyua zako.+Hakika tutashiba mema ya nyumba yako,+Mahali patakatifu pa hekalu lako.+
37 naye sasa alikuwa mjane+ mwenye umri wa miaka 84), ambaye alikuwa hakosi kamwe kuwa katika hekalu, akitoa utumishi mtakatifu usiku na mchana+ kwa kufunga na dua.