1 Samweli 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na taa ya Mungu ilikuwa haijazimwa bado, na Samweli alikuwa amelala katika hekalu+ la Yehova, palipokuwa sanduku la Mungu. 1 Mambo ya Nyakati 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+
3 Na taa ya Mungu ilikuwa haijazimwa bado, na Samweli alikuwa amelala katika hekalu+ la Yehova, palipokuwa sanduku la Mungu.
16 Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+