1 Wafalme 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kisha akaweka mmoja kule Betheli,+ na mwingine akamweka kule Dani.+ Hosea 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mtu fulani atawafanyia vivyo hivyo, Ee Betheli, kwa sababu ya ubaya wenu mwingi.+ Hakika mfalme wa Israeli atanyamazishwa+ wakati wa mapambazuko.” Amosi 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wala msitafute Betheli,+ wala msiende Gilgali,+ wala msivuke Beer-sheba;+ kwa sababu Gilgali litakwenda uhamishoni;+ Betheli nalo litakuwa kitu cha uchawi.+
15 Mtu fulani atawafanyia vivyo hivyo, Ee Betheli, kwa sababu ya ubaya wenu mwingi.+ Hakika mfalme wa Israeli atanyamazishwa+ wakati wa mapambazuko.”
5 Wala msitafute Betheli,+ wala msiende Gilgali,+ wala msivuke Beer-sheba;+ kwa sababu Gilgali litakwenda uhamishoni;+ Betheli nalo litakuwa kitu cha uchawi.+