14 Basi Abramu akasikia kwamba ndugu yake amechukuliwa mateka.+ Kwa hiyo akakusanya watu wake waliozoezwa,+ watumwa mia tatu kumi na wanane waliozaliwa nyumbani mwake,+ akawafuatilia mpaka Dani.+
34Kisha Musa akatoka katika nchi tambarare za jangwa la Moabu na kuingia katika Mlima Nebo,+ mpaka juu ya Pisga,+ mbele ya Yeriko.+ Naye Yehova akamwonyesha nchi yote, Gileadi mpaka Dani,+
29 Zaidi ya hayo, wakaita jiji hilo jina Dani kulingana na jina la baba yao, Dani,+ aliyezaliwa kwa Israeli.+ Hata hivyo, jina la jiji hilo hapo zamani lilikuwa Laishi.+
20Basi wana wote wa Israeli wakatoka,+ na kusanyiko likakutanika kama mtu mmoja,+ kutoka Dani+ mpaka Beer-sheba+ pamoja na nchi ya Gileadi,+ likamkutanikia Yehova katika Mispa.+
29 Ni dhambi tu za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi,+ ambazo Yehu hakugeuka asizifuate, yaani, wale ndama wa dhahabu+ ambao mmoja alikuwa katika Betheli na mwingine katika Dani.+