Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi Abramu akasikia kwamba ndugu yake amechukuliwa mateka.+ Kwa hiyo akakusanya watu wake waliozoezwa,+ watumwa mia tatu kumi na wanane waliozaliwa nyumbani mwake,+ akawafuatilia mpaka Dani.+

  • Kumbukumbu la Torati 34:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kisha Musa akatoka katika nchi tambarare za jangwa la Moabu na kuingia katika Mlima Nebo,+ mpaka juu ya Pisga,+ mbele ya Yeriko.+ Naye Yehova akamwonyesha nchi yote, Gileadi mpaka Dani,+

  • Yoshua 19:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Na eneo la wana wa Dani lilifanya wafinyane mno.+ Nao wana wa Dani wakapanda na kupiga vita juu ya Leshemu+ na kuliteka, wakalipiga kwa makali ya upanga. Ndipo wakalimiliki na kukaa ndani yake, nao wakaliita Leshemu jina Dani, kulingana na jina la Dani babu yao.+

  • Waamuzi 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi wana wote wa Israeli wakatoka,+ na kusanyiko likakutanika kama mtu mmoja,+ kutoka Dani+ mpaka Beer-sheba+ pamoja na nchi ya Gileadi,+ likamkutanikia Yehova katika Mispa.+

  • 2 Samweli 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mimi natoa shauri hili: Acha Israeli wote wakusanyike kwako bila kukosa, kutoka Dani mpaka Beer-sheba,+ kama mchanga ulio kando ya bahari kwa wingi,+ nawe binafsi uende katika pigano.+

  • 1 Wafalme 12:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kisha akaweka mmoja kule Betheli,+ na mwingine akamweka kule Dani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki