14 Basi Abramu akasikia kwamba ndugu yake amechukuliwa mateka.+ Kwa hiyo akakusanya watu wake waliozoezwa,+ watumwa mia tatu kumi na wanane waliozaliwa nyumbani mwake,+ akawafuatilia mpaka Dani.+
34Kisha Musa akatoka katika nchi tambarare za jangwa la Moabu na kuingia katika Mlima Nebo,+ mpaka juu ya Pisga,+ mbele ya Yeriko.+ Naye Yehova akamwonyesha nchi yote, Gileadi mpaka Dani,+
47 Na eneo la wana wa Dani lilifanya wafinyane mno.+ Nao wana wa Dani wakapanda na kupiga vita juu ya Leshemu+ na kuliteka, wakalipiga kwa makali ya upanga. Ndipo wakalimiliki na kukaa ndani yake, nao wakaliita Leshemu jina Dani, kulingana na jina la Dani babu yao.+
20Basi wana wote wa Israeli wakatoka,+ na kusanyiko likakutanika kama mtu mmoja,+ kutoka Dani+ mpaka Beer-sheba+ pamoja na nchi ya Gileadi,+ likamkutanikia Yehova katika Mispa.+
11 Mimi natoa shauri hili: Acha Israeli wote wakusanyike kwako bila kukosa, kutoka Dani mpaka Beer-sheba,+ kama mchanga ulio kando ya bahari kwa wingi,+ nawe binafsi uende katika pigano.+