-
Waamuzi 18:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Basi hao watu watano wakaendelea, wakaja Laishi,+ wakaona jinsi ambavyo watu waliokuwa humo walikaa kwa kujitegemea kulingana na desturi ya Wasidoni, watulivu na wasio na shaka,+ wala hapakuwa na mshindi mwenye kukandamiza aliyekuwa akileta usumbufu wowote katika nchi, nao walikuwa mbali sana na Wasidoni,+ wala hawakuwa na shughuli yoyote na wanadamu.
-