Mwanzo 32:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nawe, umesema, ‘Bila shaka nitakutendea vema nami nitaufanya uzao wako uwe kama chembe za mchanga wa baharini, usioweza kuhesabika kwa sababu ya wingi wake.’”+ 1 Wafalme 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yuda na Israeli walikuwa wengi, kama chembe za mchanga ulio kando ya bahari kwa wingi,+ wakila na kunywa na kushangilia.+
12 Nawe, umesema, ‘Bila shaka nitakutendea vema nami nitaufanya uzao wako uwe kama chembe za mchanga wa baharini, usioweza kuhesabika kwa sababu ya wingi wake.’”+
20 Yuda na Israeli walikuwa wengi, kama chembe za mchanga ulio kando ya bahari kwa wingi,+ wakila na kunywa na kushangilia.+