Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 19:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Na eneo la wana wa Dani lilifanya wafinyane mno.+ Nao wana wa Dani wakapanda na kupiga vita juu ya Leshemu+ na kuliteka, wakalipiga kwa makali ya upanga. Ndipo wakalimiliki na kukaa ndani yake, nao wakaliita Leshemu jina Dani, kulingana na jina la Dani babu yao.+

  • Waamuzi 18:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Zaidi ya hayo, wakaita jiji hilo jina Dani kulingana na jina la baba yao, Dani,+ aliyezaliwa kwa Israeli.+ Hata hivyo, jina la jiji hilo hapo zamani lilikuwa Laishi.+

  • 2 Samweli 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ili kuuhamisha ufalme kutoka katika nyumba ya Sauli na kukiweka kiti cha ufalme cha Daudi juu ya Israeli na juu ya Yuda kuanzia Dani mpaka Beer-sheba.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Daudi akamwambia Yoabu+ na wakuu wa watu: “Nendeni, mkahesabu+ Israeli kutoka Beer-sheba+ mpaka Dani,+ mniletee nipate kujua hesabu yao.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi wakaamua kueneza mwito+ huo katika Israeli yote, kuanzia Beer-sheba+ mpaka Dani,+ ili waje na kufanya pasaka kwa Yehova Mungu wa Israeli katika Yerusalemu; kwa maana hawakuwa wamefanya hivyo+ wakiwa umati kulingana na yale ambayo yameandikwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki