20Basi wana wote wa Israeli wakatoka,+ na kusanyiko likakutanika kama mtu mmoja,+ kutoka Dani+ mpaka Beer-sheba+ pamoja na nchi ya Gileadi,+ likamkutanikia Yehova katika Mispa.+
11 Mimi natoa shauri hili: Acha Israeli wote wakusanyike kwako bila kukosa, kutoka Dani mpaka Beer-sheba,+ kama mchanga ulio kando ya bahari kwa wingi,+ nawe binafsi uende katika pigano.+
2 Basi mfalme akamwambia Yoabu,+ mkuu wa majeshi aliyekuwa pamoja naye: “Tafadhali, tembea katika makabila yote ya Israeli, kutoka Dani mpaka Beer-sheba,+ nanyi mwandikishe watu,+ nami kwa hakika nitaijua hesabu ya watu.”+
25 Na Yuda+ na Israeli wakaendelea kukaa salama,+ kila mtu chini ya mzabibu wake mwenyewe na chini ya mtini wake mwenyewe,+ kuanzia Dani mpaka Beer-sheba,+ siku zote za Sulemani.