Mika 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nao wataketi, kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+ wala hakutakuwa na mtu yeyote anayewatetemesha;+ kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hivyo.+ Zekaria 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “ ‘Katika siku hiyo,’ asema Yehova wa majeshi, ‘Mtaitana mtu na mwenzake, mkiwa chini ya mzabibu na mkiwa chini ya mtini.’ ”+
4 Nao wataketi, kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+ wala hakutakuwa na mtu yeyote anayewatetemesha;+ kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hivyo.+
10 “ ‘Katika siku hiyo,’ asema Yehova wa majeshi, ‘Mtaitana mtu na mwenzake, mkiwa chini ya mzabibu na mkiwa chini ya mtini.’ ”+