Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 32:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini Hezekia hakurudisha kulingana na mema aliyotendewa,+ kwa kuwa moyo wake ulikuwa wenye majivuno+ na kukawa na ghadhabu+ juu yake na juu ya Yuda na Yerusalemu.

  • Methali 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kabla ya kuanguka moyo wa mwanadamu huwa na kiburi,+ na kabla ya utukufu kuna unyenyekevu.+

  • Yeremia 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yehova amesema hivi: “Amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake,+ na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki