-
2 Mambo ya Nyakati 32:25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Lakini Hezekia hakuonyesha uthamini kwa wema wote aliotendewa, kwa maana moyo wake uliingiwa na kiburi, jambo lililomfanya yeye pamoja na watu wa Yuda na wa Yerusalemu wapatwe na ghadhabu.
-