29 Zaidi ya hayo, wakaita jiji hilo jina Dani kulingana na jina la baba yao, Dani,+ aliyezaliwa kwa Israeli.+ Hata hivyo, jina la jiji hilo hapo zamani lilikuwa Laishi.+
10 ili kuuhamisha ufalme kutoka katika nyumba ya Sauli na kukiweka kiti cha ufalme cha Daudi juu ya Israeli na juu ya Yuda kuanzia Dani mpaka Beer-sheba.”+