Mwanzo 30:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Raheli akasema: “Mungu ametenda kama mwamuzi+ wangu na pia ameisikiliza sauti yangu, akanipa mwana.” Ndiyo sababu alimwita jina lake Dani.+ Mwanzo 32:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha akasema: “Hutaitwa tena Yakobo bali Israeli,+ kwa maana wewe umeshindana+ na Mungu na wanadamu hata ukashinda mwishowe.”
6 Ndipo Raheli akasema: “Mungu ametenda kama mwamuzi+ wangu na pia ameisikiliza sauti yangu, akanipa mwana.” Ndiyo sababu alimwita jina lake Dani.+
28 Kisha akasema: “Hutaitwa tena Yakobo bali Israeli,+ kwa maana wewe umeshindana+ na Mungu na wanadamu hata ukashinda mwishowe.”