Waamuzi 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa upande wangu, mimi sikukutendea dhambi, lakini wewe unanitendea vibaya kwa kupigana nami. Yehova aliye Mwamuzi+ na ahukumu leo kati ya wana wa Israeli na wana wa Amoni.’” Zaburi 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Unihukumu,+ Ee Yehova, kwa maana nimetembea katika utimilifu wangu,+Nami nimemtumaini Yehova, nisipate kutikisika.+ Zaburi 75:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Mungu ndiye mwamuzi.+Humshusha huyu, na kumwinua yule.+
27 Kwa upande wangu, mimi sikukutendea dhambi, lakini wewe unanitendea vibaya kwa kupigana nami. Yehova aliye Mwamuzi+ na ahukumu leo kati ya wana wa Israeli na wana wa Amoni.’”
26 Unihukumu,+ Ee Yehova, kwa maana nimetembea katika utimilifu wangu,+Nami nimemtumaini Yehova, nisipate kutikisika.+