47 Lakini eneo la kabila la Dani halikuwatosha kwa sababu lilikuwa dogo.+ Basi wakaenda kushambulia jiji la Leshemu,+ wakaliteka na kuwaangamiza wakaaji wake kwa upanga. Wakalimiliki na kukaa ndani yake, kisha wakabadili jina Leshemu kuwa Dani, jina la babu yao.+