34 Na sasa, njoo, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia juu yake. Tazama! Malaika wangu ataenda mbele yako,+ na siku ile nitakayoleta adhabu hakika mimi nitaleta adhabu juu yao kwa sababu ya dhambi yao.”+
9 “Na itakuwa kwa watu kama vile itakavyokuwa kwa kuhani;+ nami hakika nitawatoza hesabu kwa sababu ya njia zao;+ nami nitarudisha matendo yao juu yao.+