Hosea 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Naye Yehova ana kesi na Yuda,+ kumtoza Yakobo hesabu kulingana na njia zake;+ atamlipa kulingana na matendo yake.+ Amosi 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ‘Mimi nimewajua ninyi peke yenu+ kati ya familia zote za nchi.+ Hiyo ndiyo sababu nitawatoza ninyi hesabu kwa sababu ya makosa yenu yote.+ Waroma 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hivyo, basi, kila mmoja wetu atatoa hesabu kwa Mungu kwa ajili yake mwenyewe.+ Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
2 “Naye Yehova ana kesi na Yuda,+ kumtoza Yakobo hesabu kulingana na njia zake;+ atamlipa kulingana na matendo yake.+
2 ‘Mimi nimewajua ninyi peke yenu+ kati ya familia zote za nchi.+ Hiyo ndiyo sababu nitawatoza ninyi hesabu kwa sababu ya makosa yenu yote.+
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+