Mhubiri 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Mungu wa kweli ataleta kila kazi katika hukumu, kuhusiana na kila jambo lililofichwa, liwe jema au baya.+ Mathayo 12:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ninawaambia ninyi kwamba kila neno lisilofaa ambalo watu husema, watatoa hesabu+ juu yake katika Siku ya Hukumu; 2 Wakorintho 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana sisi sote lazima tufunuliwe mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo,+ ili kila mmoja apate thawabu yake kwa ajili ya mambo yaliyofanywa kupitia mwili, kulingana na mambo ambayo ametenda, kama ni mema au ni maovu.+ 1 Petro 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini watu hao watatoa hesabu kwake yeye+ aliye tayari kuhukumu wale walio hai na wale walio wafu.+
14 Kwa maana Mungu wa kweli ataleta kila kazi katika hukumu, kuhusiana na kila jambo lililofichwa, liwe jema au baya.+
36 Ninawaambia ninyi kwamba kila neno lisilofaa ambalo watu husema, watatoa hesabu+ juu yake katika Siku ya Hukumu;
10 Kwa maana sisi sote lazima tufunuliwe mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo,+ ili kila mmoja apate thawabu yake kwa ajili ya mambo yaliyofanywa kupitia mwili, kulingana na mambo ambayo ametenda, kama ni mema au ni maovu.+
5 Lakini watu hao watatoa hesabu kwake yeye+ aliye tayari kuhukumu wale walio hai na wale walio wafu.+