32 Hizi ndizo zilizokuwa familia za wana wa Noa kulingana na ukoo wa familia zao, kulingana na mataifa yao, na kutokana nao mataifa yakaenea kotekote duniani baada ya gharika.+
25 Mwaga ghadhabu yako juu ya mataifa+ ambayo yamekupuuza,+ na juu ya familia ambazo hazikuliitia jina lako.+ Kwa maana wamemla Yakobo.+ Ndiyo, wamemla, nao wanaendelea kumwangamiza;+ nao wameyafanya makao yake kuwa ukiwa.+